BREAKING NEWS: Abdul Nondo asimamishwa masomo Chuo kikuu



Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa William Anangisye, amemsimamisha masomo Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo hadi kesi yake ya kutoa taarifa za uongo mitandaoni na kudanganya kutekwa itakapomalizika.

Nondo alipewa dhamana na mahakama ya Iringa, jana Jumatatu,Machi 2018 baada ya kusota rumande kwa wiki kadhaa.

TAARIFA YA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Mama ajifungua mapacha wenye baba tofauti

ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO WILAYANI ROMBO YAIBUA MADUDU…..WATUMISHI WA HALMASHAURI WADAIWA KUFUJA FEDHA ZA VIJANA WENYEWE WASHINDWA KUJITETEA…

Njia za kulinda data na maelezo muhimu kukuhusu katika Facebook