JUMUIYA YA WAZAZI YA CCM MKOA WA KILIMANJARO YAPANDA MITI 230


Mgeni rasmi katika siku ya Jumuiya ya Wazazi ya ccm ya upandaji miti juzi katika mkoa wa Kilimanjaro, ambaye ni Kaimu Katibu wa ccm mkoa wa Kilimanjaro, Miriam Kaaya akipanda mti kuashiria kuzindua zoezi la upandaji miti kupitia jumuiya ya Wazazi.




Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Kilimanjaro, Daudi Mrindoko akipanda mti juzi katika shule ya Sekondari ya Uchira iliyopo wilayani Moshi inayomilikiwa na Jumuiya hiyo ikiwa ni maadhimisho ya jumuiya hiyo kupanda miti ambapo wamepanda miti 230.



Katibu wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Kilimanjaro, Hatibu Mnuwa akipanda mti katika maadhimisho hayo ya upandaji miti kimkoa.




Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo wilaya ya Moshi Vijijini, Lyiatuu akipanda mti katika tukio hilo.





 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Kilimanjaro, Daudi Mrindoko akipanda mti juzi katika shule ya Sekondari ya Uchira iliyopo wilayani Moshi inayomilikiwa na Jumuiya hiyo ikiwa ni maadhimisho ya jumuiya hiyo kupanda miti ambapo wamepanda miti 230.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Mama ajifungua mapacha wenye baba tofauti

MHUDUMU AANGUKA KUTOKA KWENYE NDEGE UGANDA

Ufahamu ugonjwa wa Ngiri ( Hernia) kiundani zaidi