PICHA ZA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM MKOA KILIMANJARO WILAYANI MOSHI MJINI
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Ivan Moshi akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza la vijana wilaya ya moshi mjini leo.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Ivan Moshi akiwahutubia wajumbe wa baraza la Umoja huo wilaya ya Moshi mjini leo.
Katibu wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Abdulrahim Hamid akizungumza na wajumbe wa baraza la Umoja huo wilaya ya moshi mjini leo.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Ivan Moshi akiwahutubia wajumbe wa baraza la Umoja huo wilaya ya Moshi mjini leo.
Katibu wa Umoja wa Vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kilimanjaro Abdulrahim Hamid akizungumza na wajumbe wa baraza la Umoja huo wilaya ya moshi mjini leo.




Hapa kazi tuu
JibuFuta