Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2018

MABIHYA AWAKABIDHI SWALA LA ULINZI WA WANANCHI WA KATA YA MAWENZI NA MAKANYA KWA UVCCM

Picha
Mishima. KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO, JONATHAN MABIHYA WA KATI KATI AKIWA KATIKA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UMOJA WA VIJANA MKOA WA KILIMANJARO JANA, KUSHOTO NI MWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO, IVAN MOSHI NA KULIA NI KATIBU WA UVCCM MKOA ABDULRAHIMU HAMAD. VIJANA wa chama cha mapinduzi (UVCCM), mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kuhakikisha wanalinda wananchi wa kata ya Mawenzi iliyopo manispaa ya Moshi pamoja na Makanya wilayani Same wasitishwe na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani. Alidai kuwa kata hizo mbili zinazotarajia kupiga kura Agosti 12 mwaka huu kumpata Diwani atakayewaongoza kipindi kilichobakia wamekuwa wakitishwa na baadhi ya viongozi wa vyama. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya katika ufunguzi wa baraza la UVCCM mkoa wa Kilimanjaro ambapo alisema kuwa, vijana wa chama cha mapinduzi wanalo jukumu kubwa la kuhakikisha wananchi na wanachama wa ccm wanatimiza maamuzi yao ya kikatib...

MABIHYA AWAKABIDHI SWALA LA ULINZI WA WANANCHI WA KATA YA MAWENZI NA MAKANYA KWA UVCCM

Picha
Mishima. KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO, JONATHAN MABIHYA WA KATI KATI AKIWA KATIKA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UMOJA WA VIJANA MKOA WA KILIMANJARO JANA, KUSHOTO NI MWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO, IVAN MOSHI NA KULIA NI KATIBU WA UVCCM MKOA ABDULRAHIMU HAMAD. VIJANA wa chama cha mapinduzi (UVCCM), mkoa wa Kilimanjaro wametakiwa kuhakikisha wanalinda wananchi wa kata ya Mawenzi iliyopo manispaa ya Moshi pamoja na Makanya wilayani Same wasitishwe na baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani. Alidai kuwa kata hizo mbili zinazotarajia kupiga kura Agosti 12 mwaka huu kumpata Diwani atakayewaongoza kipindi kilichobakia wamekuwa wakitishwa na baadhi ya viongozi wa vyama. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Jonathan Mabihya katika ufunguzi wa baraza la UVCCM mkoa wa Kilimanjaro ambapo alisema kuwa, vijana wa chama cha mapinduzi wanalo jukumu kubwa la kuhakikisha wananchi na wanachama wa ccm wanatimiza maamuzi yao ya kikatib...