Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2018

WAZIRI KAIRUKI AWAFUNDA WANANCHI WANAOCHUKUA MIKOP

Picha
                          SAME.                          WAZIRI WA MADINI ANGELLAH KAIRUKI (WA TATU KUSHOTO) AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI NA WANACHAMA WA CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO CHA WALIMU SAME SACCOS.   WAZIRI wa Madini, Angellah Kairuki amewataka wananchi wanaokopa fedha katika taasisi mbalimbali kuwa makini na kusoma na kuelewa mikataba inayotolewa na taasisi hizo kabla ya kuchukua mkopo ili kuepuka kubebeshwa mzigo mkubwa wa riba. Waziri Kairuki alitoa wito huo mwishoni mwa wiki katika mkutano mkuu wa 19 wa chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Walimu Same Saccos iliyopo wilayani Same mkoani Kilimanjaro. Alisema kuwa, zipo baadhi ya taasisi ambazo zimekuwa zikitoa mikopo kwa wananchi kwa lengo la kuwakwamua kiuchumi badala yake zimekuwa zikiwakandamiza kupitia mikataba yao hali ambayo hupelekea mkopo kugeuka ...